We unaonaje,Baada ya msanii Bella kuanika kwamba alikua na mahusiano na marehem Godzilla ,japo uhusiano wao ulikua wa siri.…
The new Nirvana season hits screens tonight at 9pm Prime time. And here are the exclusive photos of the show Host Deogratius Kithama who also doubles as the show producer with the first guest Tanzanian Celebrity Hamisa Mobetto. In the shoot shot by Istudiostz at the Azura beach ,Hamisa is wearing a dramatic long white…
Elizabeth Michael ameanza ukurasa mpya wa maisha yake now that anaenda kua mke,she is engaged to Majizzo,na jana ndo ilikua mahari yake. Ametumia instagram kupost picha zake akiwa kanoga mwenyewe ,tulimiss viwalo kutoka kwake. with her fiancee Majizzo lovely dress wale wa kufatilia # ni hii #roadtoFrancilizy…
INSTAPRENEUR AFRICA Je weye ni mmoja wa wajasiriamali watumiao instagram kama Duka? . Unatumiaje instagram yako? Wenzio wanatumia kupata pesa kwa vipi? Ungana nami sambamba na team yangu tukuelekeze . Najua uko na duka au office au biashara lakini una instagram unapost nini njoo tukuelekeze chakupost . #instagramforbusiness sambamba na #businessTips toka kwa patners wetu @nmbtanzania @ley_home_hotel_appliance @shuledirect #DisanacoEnterprises Cc @sarahmauki…
IT’S OFFICIAL KWA BONGO SASA HIVI THEME YA PARTY NI TEA PARTY IWE BRIDAL SHOWER ,BABY SHOWER WENGI WANAFANYA TEA PARTY ,SIJUI NI SABABU YA ROYAL WEDDING YA PRINCE HARRY NA MEGHAN MARKLE AU PEOPLE JUST LOVE THIS THEME WAMETOKEA KUIPENDA SANA. Now Blandina Njau and her friends had this amazing Royal Tea party where…
Wateja wote wa DStv watapata mechi zote 64 LIVE kuanzia kifurushi Bomba kwa sh.19,000 tu, Mechi zikiwa kwenye mfumo wa HD na pia zikitangazwa kwa lugha mbalimbali ikiwemo lugha yetu bora ya Kiswahili na watangazaji nguli wenye uzoefu. Pia Mteja wa DStv ataweza kuangalia mechi za Kombe la Dunia akiwa mahali popote na wakati wowote…
Wikiendi hiyoo inanyatia nyatia, wapenda soka kama nawaona vile wakila Sikukuu miguu juu, sasa Wakali wa soka DStv wanataka kunogesha zaidi sikukuu yako, shuhudia mechi kali za Premier League. Mashetani wekundu wanakutana na viponde Swansea City, Je mdogo atampiga mkubwa? ukweli utajulikana baada ya dakika tisini siku ya jumamosi saa 11 jioni, ndani ya SuperSport…
Ni wikiendi nyingine tena na Stering DStv anakuletea mtanange wa kombe la FA hatua ya robo fainali, upande huu ni Man united pembeni ni Brighton, mpira unawekwa kati soka lipigwe, Je Man United watachomoka na ushindi ama watalala doro tena kwa vibonde? Mimi na wewe hatujui ila tutashudia wenyewe LIVE, Jumamosi hii saa 4.40 usiku…
Serikali kupitia Wizara ya Afya imezitambua rasmi aina ya dawa tano za asili baada ya kuzikagua na kujiridhisha kuwa zinatibu matatizo ya nguvu za kiume. Naibu Waziri wa Afya Dkt. Faustine Ndugulile Amezitaja dawa hizo leo Machi 13, 2018, Msajili wa Baraza la Tiba za Asili na Mbadala, Dkt. Ruth Suza katika mkutano na waandishi…
Beret zimeingia kwa sasa and they are all over the place ,from runways to street styles tunaziona kila mahali.Now kwa nje washavaa wengi sana ,tu focus na fashionistaz wengi wa hapa Bongo ambao wamevaa hizi beret. Sio kwamba hazikuwepo hapana zilikuwepo sana tu but sasa hivi zimerudi tena kwa fashooon.Hizi ni unisex wanaume na wanawake…