EshaBuheti Ampa Maneno ya utu Uzima Mke wa Ali Kiba
Haya wifi mtu Esha Buheti kaandika kwenye ukurusa wake wa instagram ,kumfunda kidogo wifi mtu kumwambia kwamba Watu wakimpelekea maneno ya umbea awaambie tayari alishaambiwa. Kwako wifi kipenzii…… nnachokupendeaa unajuaa stara….. fichaa mwili wakooo hatutakiwii kuuonaa hy ni maliii ya king wetuuu andee yeye akauonee ndaniii….. mpz ndoaa ni ngumu sanaa ila itakua nyepesii kama… (1 comment)